Pages

Tuesday, November 22, 2011

MISS UTALII VYUO VIKUU KANDA YA KATI KATIKA PICHA, WALIPOSHINDANA KATIKA TUZO YA KIPAJI CLUB 84.


 Picha zote za juu ni washiriki wa Miss Utalii Vyuo Vikuu Kanda ya kati waliposhindana kutafuta washindi watano watakaowania tuzo ya mshindi wa kipaji
 washiriki wa Miss utalii Vyuo Vikuu kanda ya kati Dodoma walipotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano(katikati ni Mwandishi na mpiga picha  Maarufu nchini Shaaban Mpalule).
Baadhi ya washiriki wa Miss Utalii Vyuo Vikuu wakiwa na walimu wao Jamida Abdul na Mariam Hamisi(picha zote na shaaban Mpalule)

No comments:

Post a Comment