Pages

Tuesday, November 22, 2011

REDDS FASHION SHOW ILIVYOKUWA MJINI DODOMA NDANI YA ROYAL VILLAGE





shindano la kumtafuta mkali wa mitindo lilimalizika mjini dodoma hivi karibuni ambapo idadi lukuki ya watazamaji walijitokeza siwezi kusema ni kwa sababu ya kutokuwa na kiingilio lakini watu walikuwa ni wengi na shoow ilifana vilivyo mimi nikiiwa shahidi namba moja kama unavyoona katika picha hizi(Picha Zote na Shaaban Mpalule DODOMA)

No comments:

Post a Comment