Pages

Saturday, January 21, 2012

MAJI MACHAFU YAKWAKERA WAKAZI WA JIJINI- NI BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI

 Maji ambayo yametwama tangu juzi, baada ya manyunyu kidogo, yamezidi kuwa kuro kwa wapita njia pamoja na vyombo vya usafiri ambvyo ukwepa maji na hivyo kusababisha msongamano wa magari
 Mwendesha Pikipiki akivuka Eneo hilo kwa tabu
 Mwendesha Pikipiki, na Abiria wake wakivuka kwa taabu
Mkazi wa jiji ambaye akutambuliika jina lake akijaribu kuzibua Mitaro , kwenye maungio ya Barabara ya Uhuru na Msimbazi  leo, maji hayo yamesababishwa na mvua kidogo zilizonyesha juzi( Picha Zote na Shaaban Mpalule).

No comments:

Post a Comment