Pages

Monday, January 9, 2012

MATUKIO YA PICHA KATIKA MCHEZO WA MAN U DHIDI YA MAN CITY

 Wachezaji wa MAN -U, Wakishangilia Ushindi dhidi ya Man City wa 3-2
 Mchezaji wa Man City, akijaribu Kumzuia Mchezaji wa Man U, nani
 Wachezaji wa West Hamu wakitazama kama kuna dalili zozote za Mpira kutinga wavuni
 Mwamuzi alikuwa na wakati Mgumu wakati wa kuamua tukio, wakati Mchezaji wa Chelsea akionyesha tendo la kushangilia mpira huo

Mchezaji wa Chelsea (TORES) chini akijaribu kulalamika baada ya kuchezewa faulo
Wachezaji wa Man U, Paul Scholes wakifanya mabadiliko dhidi yake ya Nani, wakati wa mchezo dhidi ya Man City.

No comments:

Post a Comment