Pages

Monday, February 6, 2012

Balozi mpya wa Tanzania nchini Ubelgiji,Dk.Diodorus Kamala na Dk. Sezibera katibu mkuu wa (EAC) wakati wa kuagana

Balozi mpya wa Tanzania nchini Ubelgiji,Dk.Diodorus Kamala(kushoto)akiongea na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera alipoenda kumuaga,Dk Kamala alikuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Tanzania.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera(kulia) akiagana na Balozi mpya wa Tanzania nchini Ubelgiji,Dk Diodorus Kamala(kushoto)aliyemtembelea ili kumuaga,Dk Kamala amewahi kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Tanzania.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC)Dk Richard Sezibera(kushoto) akimsindikiza Balozi mpya wa Tanzania nchini Ubelgiji,Dk Diodorus Kamala(kulia)aliyemtembelea na kumuaga,Dk Kamala amewahi kuwa Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Tanzania.Picha Zote na Fibert Rweyemamu

No comments:

Post a Comment