Pages

Wednesday, February 8, 2012

KATIBU MKUU WIZARA YA AFRIKA MASHARIKI AZINDUA RIPOTI YA KIJIOGRAFIA

Naibu katibu mkuu wa wizara ya uhusiano wa Afrika mashariki. Bwana Uledi Mussa akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa Ripoti kuhusu hali ya kijiogrofia katika nchi za jumuiya ya Afrika mashaki iliyoandaliwa na Benki ya dunia uzinduzi huo ulifanyika katika Hotel ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam leo.
Baadhi ya wadau waliohudhuria kati uzinduzi ya ripoti hiyo.

No comments:

Post a Comment