Pages

Monday, February 6, 2012

PIKIPIKI NA BAISKELI ZAGONGANA IRINGA

Ajali hii ilihusisha pikipiki na baiskeli katika eneo la Nduli mkoani Iringa. Barabara ni pana sana, lakini sijui ilikuwaje wakagongana. Mwendesha baiskeli aliyeketi alikuwa amepakia ulanzi.Inawezekana ni matokeo ya kilaji!
Manyerere Jackton

No comments:

Post a Comment