Pages

Sunday, May 27, 2012

MASHINDANO YA JUDO YAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Judo Tanzania Bw, Khalifa Kiumbemoto katikati akifuatila kwa makini Mashindano ya Mchezo huo yaliyofanyika katika Ukumbi wa Landmark  jijini Dar es Salaam wa kwanza kushoto kwake ni Mkurugenzi msaidizi wa Wizara ya Habari na Michezo Bw. Charles Mattoke  na wapili kushoto kwake ni Mdhamini wa Mashindano hayo kutoka Germin Copperation LTD Bw. Yulliy Tarverdyan. Katika Mashindano hayo Watanzania walionekana kushindwa na wachezaji kutoka Zanzibar.
Mchezaji wa Judo kutoka CCP Polisi Moshi (wa juu) Bw. Kisamerwa Magangwa akiwa amemgeuza mshindani wake Bw,.Mohammed Juma kutoka Magereza  Ukonga jijini Dar es Salaam katika mchezo huo.
Baadhi ya mashabiki walioudhuria katika
mpambano wa mchezo huo wakifuatilia kwa makini.
Wataalamu wa kufuatilia muda katika mashindano ya mchezo huo wakifuatilia kwa umakini mchezo huo.

No comments:

Post a Comment