Pages

Thursday, May 17, 2012

MAZISHI YA MPIGA PICHA WA HABARI MAELEZO ZANZIBAR HAMAD HIJA HAMADI

Wanafamilia pamoja na Waandishi wa Habari mbalimbali wakibeba jeneza la aliekuwa mpiga Picha wa Idara ya Habarí Maelezo Zanzibar Marehemu Hamad Hija aliefariki leo Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja Zanzí
(PICHA KWA HISANI YA MAELEZO ZANZIBAR)
Wanafamilia pamoja na Waandishi wa Habari mbalimbali wakimsalia aliekuwa mpiga Picha wa Idara ya Habarí Maelezo Zanzibar Marehemu Hamad Hija aliefariki leo Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja Zanzíbar.

Wanafamilia pamoja na Waandishi wa Habari mbalimbali wakibeba jeneza la aliekuwa mpiga Picha wa Idara ya Habarí Maelezo Zanzibar Marehemu Hamad Hija aliefariki leo Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja Zanzíbar
Wanafamilia pamoja na Waandishi wa Habari mbalimbali wakiwa katika mazishi ya  aliekuwa mpiga Picha wa Idara ya Habarí Maelezo Zanzibar Marehemu Hamad Hija aliefariki leo Hospitali kuu ya Mnazi Mmoja Zanzíbar

No comments:

Post a Comment