Pages

Saturday, May 26, 2012

MBALI NA SHUGHULI ZA CHAMA PIA NAPE AKACHEZA GOFU KWENYE VIWANJA VYA DIONIZ MALINZI

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akiwasili na ujumbe wake kwenye Uwanja wa ndege wa Bukoba, kwa ajili ya ziara ya siku moja ya kikazi mkoani Kagera ambako pamoja na shughuli nyingine alifungua Baraza la Vijana wa CCM, Wilaya ya Missenyi mkoani humo.
Nape alipata fursa pia kucheza gofu kwenye viwanja vya mchezo huo vya Dioniz Malizni (kulia) nje kidogo ya mji wa Bukoba

No comments:

Post a Comment