Pages

Friday, May 25, 2012

Mchakato wa Mapitio ya Ripoti ya Mfumo wa Haki za Mdai waendelea DSM na Mbeya

Jaji Mstaafu Buxton Chipeta akizungumza na Mahakimu, Wenyeviti wa Mabaraza ya Wilaya ya Ardhi na Nyumba pamoja na Madalali wakati wa warsha ya Mapitio ya Ripoti ya Mfumo wa Haki za Madai, katikati ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Agnes Mgeyekwa na kulia ni Mratibu wa mradi wa BEST Athasia Soka.
Munir Shemweta
Ofisa Habari
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Ofisa Sheria Mkuu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Anjela Shila (Katikati) akisisitiza jambo wakati wa majadiliano
Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria (Mapitio) Angela Bahati (katikati) akiwa katika majadiliano wakati wa kupitia ripoti ya mfumo wa Haki za Madai.
Washiriki wa warsha ya kupitia ripoti ya Mfumo wa Haki za Madai wakimsikiliza Jaji mstaafu Chipeta

No comments:

Post a Comment