Pages

Wednesday, May 23, 2012

Mkutano kundi la G77 and China katika mkutano wa mazingira jijini Bonn

Bi Fauzia Mwita, kutoka Idara ya Mazingira Zanzibar, akishiriki katika majadililiano ya kuweka msimamo wa pamoja wa nchi zinazoendele katika mkutano wa kundi la G77 and China, katika mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi unaoendelea mjini Bonn.
Mkurugenzi wa mzingira zanzibar Bw Sheha Mjaja, akifuatilia mjadala wa kuweka msimamo wa pamoja wa nchi zinazoendelea katika mkutano wa kundi la G77 na China, kwenye Mkutano wa mabadiliko ya Tabia nchi unaendelea mjini Bonn
Bw. Ladsalus Kyaruzi, na Injinia Alphonce Bikulamchi Maafisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wakishiriki katika majadiliano ya kuweka msimamo wa pamoja wa nchi zinazoendelea katika kundi la G77 na China.katika mkutano wa mabadiliko ya tabia nchi unaoendelea mjini Bonn. (Picha na Evelyn Mkokoi)
.

No comments:

Post a Comment