Pages

Friday, December 28, 2012

MATUKIO KATIKA PICHA

 Kutokana na Hali ya Maisha Kuwa Ngumu, wakazi wa Manspaa ya  mji wa Moshi wakiwa katika harakati na Biashara ya kuuza Matunda, katika kipindi hiki kuelekea Mwisho wa Mwaka (1)
Soko la Bidhaa za watu wenye imani ya Rasta inazidi kushamili huku bidhaa hizo pia zikizidi kuwekewa ubunifu kama inavyoonekana , Mkazi wa Manspaa ya Mji wa Moshi akiingia kupata moja ya Bidhaa hizo (1)

No comments:

Post a Comment