Pages

Wednesday, January 9, 2013

ALIOFUZU KUINGIA KWENYE SHINDANO LA GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE WAKABIDHIWA HATI ZAO ZA KUSAFIRIA NA MAELEKEZO YA SAFARI YA AFRIKA KUSINI



Meneja wa kinywaji cha Guinness kutoka kampuni ya bia ya Serengeti akikabidhi hati ya kusafiria kwa Lukwesa Kanakamfumu, mmoja wa washiriki wa Guinness Football Challenge washiriki wa shindano hilo wanatarajiwa kuondoka mwishoni mwa wiki hii kuelekea Afrika Kusini
 
Wakiwa katika picha ya pamoja meneja wa kinywaji cha Guinness Davis Kambi(katikati) na washiriki wa Guinness Football Challenge baada ya kupokea hati zao za kusafiria
 
Mratibu wa safari Bi. Caroline akitoa maelekezo na taratibu za safari kwa washiriki waliofuzu kuingia katika mashindano ya Guinness Football Challenge wanaotarajiwa kusafiri karibuni.

No comments:

Post a Comment