Pages

Wednesday, January 9, 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AKIWA NA MMOJA WA WAKANDARASI WA BARABARA MKOANI TABORA

 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mmoja wa wahandisi wa kutoka China waliopata kandarasi ya kujenga barabara baada ya kuzindua rasmi  ujenzi wa barabara hiyo akiwa katika ziara yake ya  siku nne ya mkoa wa huo ambapo anazindua miradi kadhaa ya maendeleo ikiwemo barabara, daraja na maji.

No comments:

Post a Comment