Pages

Tuesday, August 20, 2013

MFALME WA NYIMBO ZA ASILI TANZANIA, COSTA SIBOKA APAGAWISHA WATALII JIJINI DAR ES SALAAM.

 Mfalme Siboka akiongoza kucheza ngoma katika Hafla hiyo.
 Kundi jipya la Ngoma za asili la Mfalme Costa Siboka(MFALME GROUP)
 Costa Siboka, akijaribu kuonyesha kwa Vitendo, wakati mmoja wa Watalii wa Kigeni aliposhindwa kijizuia na kuingia kucheza ngoma ya Twisile ya kabila la wanyakyusa.
Mfalme wa nyimbo za Asili Tanzania, Costa Siboka, akipagawisha Wazungu waliofurika katika Ukumbi wa Golden Jubilee, wakati wa Onyesho la Kutafuta Warembo wa Miss Ilala Tanzania 2013
.(Picha kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment