Pages

Thursday, August 15, 2013

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAFURIKA KUSIKILIZA MKUTANO WA CHADEMA KATIKA UWANJA WA FURAHISHA


Huu ni mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, katika uwanja wa FURAHISHA, kirumba Mwanza, katika kuzungumzia na kukusanya maoni ya katiba Mpya zoezi linaloendelea kwenye maeneo mbalimbali ya majimbo ya Tanzania. 
(Picha zote kwa Hissani ya Miss Demokrasia Tanzania)

No comments:

Post a Comment