Pages

Friday, September 20, 2013

Mwanamuziki Mtanzania anayeishi Italy, Remmy williams, Amaliza kurekodi Nyimbo zake mpya Tanzania, ashirikisha wanamuziki wa Tanzania

  Remmy williams Mtanzania anayefanya mziki nchini Italy katika Pozi  Tofauti, wakati akirekodi nyimbo hapa nchini na  Wasanii mbalimbali kama, King Ruston, Moses Thomas& Mirror Rhymes. Wimbo unaojulikana kama, AFRICA,Kazi hiyo imefanyika katika Studio za Overclassic, wakati Video imefanywa na  Kampuni ya Emedia chini mwongozaji Nick Dizo na Sama katika viunga vya Mwanza
(Picha Kwa Hisani ya Miss Demokrasia Tanzania).

No comments:

Post a Comment