Pages

Saturday, December 28, 2013

Jackie Cliff adaiwa kunaswa na dawa za kulevya nchini China

Jackie akiwa  katika chumba maalum alipopekuliwa ambapo  rafiki yake Chief Rocker amethibitisha kukamatwa kwa mwanadada huyo nchini china huku ubalozi wa Tanzania nchini humo umethibitisha kukamatwa kwa mrembo huyo. kwa hisani ya www.chinadaily.com 1508030_623954184329431_195299988_n 
Pipi za dawa za kulevua zikipangwa 1524777_623954147662768_2846804_n 
Wapiga picha wakiwajibika kazini ili kuripoti tukio la kukamatwa kwa Jackie

No comments:

Post a Comment