Pages

Thursday, December 5, 2013

Siku ya Kitaifa ya Maadhimisho Haki za Binadamu yanatarajiwa kufanyika Desemba 10 mwaka huu.

Pichani wadau wa  Haki za binadamu wakifuatilia kwa makini taarifa ya Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora( hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam.
PIX4-1 
Mwandishi wa habari wa ITV  Ufoo Saro akiuliza swali wakati wa mkutano  wa Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Frank Shija – Maelezo

No comments:

Post a Comment