Pages

Friday, December 20, 2013

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS IKULU NA UTAWALA BORA ZANZIBAR AWEKA JIWE LA MSINGI LA KITENGO KIPYA CHA UTIBABU WA UTI WA MGONGO NA UBONGO

01 (2) 
 Jengo jipya la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo linalojengwa kwa mashirikiano ya Serekali ya Spen na ya Zanzibar.03 (1) 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Mhe. Mwinyi Haji Makame (wakatikati) akiongozana na viongozi mbalimbali kuweka jiwe la msingi la kitengo cha matibabu ya Uti wa mgongo na Ubongo katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, sherehe hiyo imefanyi Mnazi mmoja Hospitali Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment