Pages

Sunday, January 12, 2014

DK.SHEIN AKUTANA WAZIRI WA MAENDELEO YA MIJI NA VIJIJINI WA CHINA.

TA1A9506
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Maendeleo ya Miji na Vijijini Nchini China Bw,Jiang Weixin,alipofika Ikulu ya Migombani,Waziri huyo yupo nchini kushiriki sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.] TA1A9479 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein akizungumza na Waziri wa Maendeleo ya Miji na Vijijini Nchini China Bw,Jiang Weixin,alipofika Ikulu ya Migombani,Waziri huyo yupo nchini kushiriki sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment