Pages

Tuesday, January 28, 2014

MZEE DUDE WA MSANII WA FUTUHI AFAERIKI DUNIA

Msanii wa tasnia ya uchekeshaji toka kundi la FUTUHI linalo rusha kazi zake kupitia Star TV, Mzee Dude amefariki dunia leo mida ya saa 11 jioni akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa Bugando ya jijini Mwanza ambako alilazwa mara baada ya kuzidiwa ugonjwa wa muda mrefu aliokuwa nao kwa figo kushindwa kufanya kazi.
Enzi za uhai wake Mzee Dude alikuwa mchezhi na mbunifu wa hali ya juu kuwavunja watu mbavu.
Mzee Dude atazikwa kesho jijini Mwanza majira ya alasili na taarifa kamili utazipata hapa.

No comments:

Post a Comment