Pages

Sunday, January 12, 2014

POLISI WAJISHINDIA VYEREHANI NA PIKIPIKI

E88A0742Kamishna  wa Utawala na Utumishi  wa Jeshi la Polisi na Mwenyekiti wa Bodi  ya Usalama wa Raia Saccoss, Kamishna Thobias Andengenye akikata utepe kuashiria kuanza kwa bahati nasibu ya saccoss hiyo iliyofanyika jana Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam. Washindi kumi walibahatika kupata vyerehani na washindi  watano walibahatika kupata pikipiki aina ya boxer. Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment