Pages

Thursday, January 2, 2014

TUME YA SHERIA YAUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014

KEKI 
maalum kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya
 zainabna japhece   
Maafisa Sheria waTume Zainabu Chanzi (Kulia) na Japhace Daudi wakikata keki.km 
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Winfrida Korosso akizungumza na wafanyakazi wa Tume wakati wa kuukaribisha mwaka mpya 2014.wana Tume 
Wafanyakazi wa Tume  wakishiriki katika kuukaribisha mwaka mpya 2014muziki 
Watumishi wakishiriki katika kutakiana heri ya mwaka mpya 2014

No comments:

Post a Comment