Pages

Saturday, February 1, 2014

WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEWA NA NAIBU WAZIRI MWANDAMIZI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN

 Waziri Mkuu  Mizengo Pinda akibadilishana mawazo na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan Norio Mitsuya  alipomtembelea ofisini kwake jana.(Picha zote na  Ofisi ya Waziri Mkuu.)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan  Norio Mitsuya alipomtembelea ofisini kwake jana 

No comments:

Post a Comment