Pages

Friday, March 21, 2014

RAIS KIKWETE KUONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI MJINI DODOMA.

D92A4920Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimlaki Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege mjini Dodoma leo mchana ambapo kesho anatarajiwa kulihutubia na kuzindua rasmi Bunge maalum la Katiba.

No comments:

Post a Comment