Pages

Tuesday, March 11, 2014

SIMBA YAFANYA USAJILI MPYA KIZUNGU!!

kocha_loga 
SI Azam FC tu inayofanya mambo kisayansi, hata Simba ya Msimbazi na yenyewe imeanza kubadilika.
Azam imeshamsainisha kiraka Owen Kasule wa Uganda tayari kwa msimu ujao lakini Simba kupitia kwa mkurugenzi wake wa ufundi, Moses Bassena inapitia viwanjani kukagua wachezaji wote kwenye timu zote za Ligi Kuu Bara.
Kwa mujibu wa Simba hilo linafanyika ili kuhakikisha wanafanya usajili wa maana na si magarasa kama ilivyokuwa awali kwa kuwafuatilia kwenye mechi zao wanazocheza.

No comments:

Post a Comment