Pages

Monday, July 28, 2014

AIRTEL RISING STAR MICHUANO YA VIJANA YAZINDULIWA JIJINI DAR

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadiki akisalimiana na wachezaji wa timu za Ilala wakati akizindua rasmi mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam jana.
 Mshambuliaji wa timu ya Ilala, Rashid Mohamed (kulia) akimtoka beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Khamis Mohamed katika mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam jana.
 Mshambuliaji wa timu ya Ilala, Edwin Francis (kushoto) akituliza mpira mbele ya  beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Salum Abdallah katika mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam jana.
 Mshambuliaji wa timu ya Ilala, Rajabu Ally (kushoto) akimtoka beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Hassan Omari  katika mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam jana.
 Mshambuliaji wa timu ya Ilala, Francis Edwin (kushoto) akiwania mpira na beki wa timu ya Buguruni Youth Center, Hassan Juma katika mashindano ya vijana ya Airtel Rising Star kwa mkoa wa Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment