Pages

Monday, July 28, 2014

Rais Kikwete aandaa futari kwa yatima, walemavu wa ngozi na watoto waishio kwenye mazingira magumu ikulu Dar es salaam

Rais Kikwete akipakua futari  Ikulu jijini Dar es salaam jana Jumapili jioni.
Yatima, walemavu wa ngozi na watoto walio katika mazingira magumu wakipakua futari waliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam jana Jumapili jioni
Yatima, walemavu wa ngozi na watoto walio katika mazingira magumu wakipakua futari waliyoandaliwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam jana Jumapili jioni
================
kwa habari zaidi bofya hapa.
www.ambassadorodemocracytanzania.blogspot.com

No comments:

Post a Comment