Pages

Wednesday, July 23, 2014

WATU NANE WAKO CHINI YA ULINZI KUFUATIA TUKIO LA KUTUPWA KWA VIUNGO VYA BINADAMU

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. 
 
Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda

No comments:

Post a Comment