Pages

Friday, September 5, 2014

HABARI YA KUSIKITISHA: AJALI YAUA ZAIDI YA 50 LEO MUSOMA NI MABASI YA MWANZA COACH NA JUMANNE, TUNAOMBA RADHI KWA PICHA

 Mabasi hayo yakiwa yamegongana

Basi la Jumanne lililokuwa linatoka Sirari kwenda Mwanza limegongana uso kwa uso na basi la Mwanza coach lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Musoma. Ajali imetokea katika eneo la daraja la sabasaba, Musoma.  Endelea kufuatilia  Maelezo kwa Mujibu wa Father Kidevu blog

No comments:

Post a Comment