Pages

Friday, September 26, 2014

SIMBA, YANGA SASA KUMALIZANA OKTOBA 18…NI JAJA AU OKWI?

MECHI ya Simba na Yanga iliyopangwa kuchezwa Oktoba 12 kwenye Uwanja wa Taifa sasa imesogezwa mbele mpaka Oktoba 18 kupisha mechi ya kirafiki ya Taifa Stars na Benin.Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) limetangaza jana kwamba Stars itacheza Oktoba 12 na leo watatangaza mabadiliko mapya ya ratiba ya Ligi kupisha mechi hiyo ya kalenda ya Fifa na ni rasmi kwamba Simba na Yanga ni wikiendi ya Oktoba 18.
Kusoma zaidi kwa hisani ya Mwanaspoti bofya www.bkmtata.blogspot.com

No comments:

Post a Comment