Pages

Tuesday, October 28, 2014

AJALI MBAYA YATOKEA YOMBO VITUKA MWISHO WA LAMI

Gari aina ya Hiace ambayo ni daladala yenye namba za usajili T769 AFP imedondokewa na Kontena ambalo lilikuwa limebebwa kwenye lori huko Yombo Vituka Mwisho wa Lami, Ajali hii imetokea jana na kupelekea hofu ya kupoteza abiria wote waliokuwamo katika Daladala hiyo .

Ripota wetu anaendelea kutafuta habari kutoka eneo hilo la tukio.Picha na Mdau wa Lukaza Blog  Samora Julius

No comments:

Post a Comment