Pages
(Move to ...)
Home
▼
Wednesday, November 5, 2014
Balozi Mpya wa Norway Kukutana na Dk.Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Balozi mpya wa Norway Nchini Tanzania Bibi Hanne Marie Kaarstad ambae alifika Ikulu Mjini Zanzibar baada ya mazungumzo yao.[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi mpya wa Norway Nchini Tanzania Bibi Hanne Marie Kaarstad ambae alifika Ikulu Mjini Zanzibar .[Picha na Ikulu.]
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment