Pages

Friday, December 26, 2014

AJALI YAUWA WAWILI NZEGA TABORA

 Ajali iliyohusisha magari mawili imesababisha waliokuwa kwenye gari dogo kupoteza maisha maeneo ya Nzega, inaasemekana chanzo cha ajali ni speed ya gari dogo na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha eneo hilo.

No comments:

Post a Comment