Pages

Sunday, December 28, 2014

AVAMIWA NYUMBANI PARK NA KUJERUHIWA VIBAYA MMILIKI NA KUPORWA FEDHA

Farida mess Matlou
Sehemu alizoathilika
Mkurugenzi mtendaji wa Nyumbani Park & Samaki Sport Farida mess Matlou alivamiwa na majambazi na kumjeruhi.Tukio hilo lilitokea usiku wa Trh 19 kuamki 20 maeneo ya nyumbani kwake Kihonda.

Kwa taarifa zilizofikia mtandao huu ni kwamba tayari watu wawili wamekatwa kuhusishwa na tukio hiloMkurugenzi huyu alivamiwa usiku wa saa saba.

No comments:

Post a Comment