Pages

Thursday, December 4, 2014

DK.SHEIN AKABIDHI BOTI NA MASHINE MICHEWENI PEMBA

unnamed Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi Boti na Mashine Bw.Shamte Hamadi Juma wa Kijiji cha Maziwa Ng’ombe Wilaya ya Micheweni  kwa niaba ya kikundi cha Wavuvi Kheri Moyo Mmoja Pemba hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika jana kijijini hapo,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment