Pages

Tuesday, December 2, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA KIBAHA MKOA WA PWANI

Bondia Rajabu Omari kushoto akioneshana umwamba na Herman Shekivuli wakati wa mpambano wao uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani Shekifuli alishinda kwa K,O ya raundi ya kwanza.
Bondia Mustafa Dotto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ramadhani Max wakati wa mpambano wao uliofanyika Kibaha Mkoa wa Pwani mwishoni mwa wiki iliyopita Dotto alishinda kwa K,O ya raundi ya tatu ya mpambano huo.
Bondia Shedrack Ignas kushoto akipambana na Fred Masinde wakati wa mpambano wao uliofanyika Kibaha mkoa wa Pwani Ignas alishinda kwa K,O ya raundi ya tatu .
Bondia Zumba Kukwe kushoto  akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Sweet Kalulu wakati wa mpambano wao uliofanyika Kibaha mkoa wa Pwani mpambano huo ulimalizika kwa sare .

No comments:

Post a Comment