TAJIRI AZIKWA NA GARI LAKE AINA YA HUMMER NCHINI NIGERIA
Ama
kweli Duniani kuna mambo, Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni,
Huko nchini Nigeria Tajiri mmoja maarufu amezikwa akiwa ndani ya gari
lake la kifahari aina ya Hummer, kama inavyoonekana pichani gari hilo
likishushwa kaburini kama inavyokuwa kawaida kushusha Jeneza kaburini
muda unapowadia
Wananchi wakishuhudia mazishi hayo nchini Nigeria yakifanyika
.Mazishi
ya tajiri mmoja huku nchi Nigeria yakifanyika kwa mwili wa tajiri
huyo kuzikwa pamoja na gari lake aina ya Hummer,kula raha kifo chaja
ama kweli pesa makaratasi
No comments:
Post a Comment