Pages
(Move to ...)
Home
▼
Tuesday, December 30, 2014
Unadhani kipi kifanyike ili zinyeshapo mvua kama hizi wakazi wa jiji hilo wasikumbwe na matatizo hayo ya mara kwa mara?
Na: DW (Kiswahili)
Jana ilinyesha mvua kubwa jijini Dar Es Salaam, ambapo mitaa kadhaa katikati ya jiji hilo imekuwa taabu kupitika,
kwa wenda kwa miguu na pia magari. Mara kwa mara mvua kubwa zinaponyesha jiji la Dar Es Salaam hukabiliwa na matatizo hayo.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment