MPALULEBLOG:

Pages

▼

Friday, December 12, 2014

WAZAZI WA MISS TANZANIA 2O13 WAELEKEA LONDON KUMPA SAPOTI MTOTO WAO

Wazazi wa Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa  Akiongozwa na Baba yake wa Tatu Kutoka Kushoto Pamoja na Mama yake wa Tatu Kutoka Kulia WakiwaWameambatana na Wadogo wa Miss Tanzania 2O13 Pamoja na Marafiki Wengine Wakiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere Katika Hatua za Mwisho Kabla ya Kusafiri Mchana wa Leo Kuelekea Jijini London Kwenye Kilele cha  Mashindano ya Miss World 2O14 Yakakayohitimishwa Tarehe 14.12.2O14  Ambapo Mtoto wao Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa Anaiwakilisha Tanzania.

 Wazazi Hao wa  Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa  Wamewaomba  Watanzania Kumwombea NA Kuendelea Kumpigia Kura Miss Tanzania 2O13 Katika Mashindano Hayo Ili Aweze Kuiwakilisha Tanzania Vema na Kuibuka Mshindi.Ikumbukwe Mpaka Juzi Miss Tanzania 2O13  Happiness Watimanywa Kura za Watanzania Zilimuwesha Kuingia Kumi Bora.
Ingia humu kufata maelezo ya Namna ya kumpigia kura…..
Bofya Link Hii http://www.missworld.com/TheCompetition/TheMissWorldMobileApp/CastYourVote/
Unknown at 9:59 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.