Pages

Thursday, January 8, 2015

Balozi wa Comoro nchini akutana na Rais Dk.Shein

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dk.Ahamada El Badaoui  Mohamed alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo  .[Picha na Ikulu.]
  unnamed3k 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiagana na  Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dk.Ahamada El Badaoui  Mohamed baada ya mazungumzo yao leo  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
unnamed4k 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana  na  Balozi wa Comoro Nchini Tanzania Dk.Ahamada El Badaoui  Mohamed baada ya mazungumzo yao leo  alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]

No comments:

Post a Comment