Pages
(Move to ...)
Home
▼
Wednesday, January 14, 2015
Kampuni ya Tigo Yatoa Zawadi za Siku ya Mapinduzi kwa Wateja Wake Zanzibar
Mwakilishi wa jimbo la Kwamtipura Zanzibar, Mh.Hamza Hassan Juma (kushoto) akipokea zawadi ya Tigo kutoka kwa Meneja wa Mawasiliano wa kampuni hiyo, Bw. John Wanyancha wakati wa maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi Zanzibar.
Ofisa wa Tigo Zanzibar, Fredy Mugule akikabidhi zawadi kwa Fatuma Suleiman kwenye maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi zanzibar zilizofanyika kwenye Duka la Tigo Malindi .
Ofisa wa Tigo Zanzibar Fredy Mugule akikabidhi zawadi wa Thuwayba Ali kwenye maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi zanzibar zilizofanyika kwenye Duka la Tigo Malindi ..
Wafanyakazi wa Tigo wakitoa huduma mbalimbali kwa wateja waliotembelea ofisi ya Tigo, Malindi mjini Zanzibar jana.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment