Pages

Friday, January 23, 2015

MBEGU ZILIZOPANDWA KWENYE SHAMBA DARASA LA WAZIRI MKUU HAZIJAOTA

unnamed (17)Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt Ibrahimu Msengi  akipata maelezo kutoka kwa Mshauri wa kilimo wa mkoa Mr. Nyoni  juu ya mbegu ya mahindi  aina ya Pioneer inayozalishwa na kampuni  By Treda ya mkoani Arusha  mbegu zilizopandwa kwenye  shamba la waziri mkuu na hazijaota.unnamed (18)Wakulima wakiwa shambani, shamba darasa la waziri mkuu walipokutana na mkuu wa mkoa kumweleza sakata la mbegu kushindwa kuota baada ya kupandwa hali ambayo walimweleza Mkuu wao wa Mkoa kuwa huenda wakakumbwa balaa la njaa kwani hata wakipanda muda huu mvua ziko hatarini kukatika kutokana na msimu wa mvua katika ukanda huu . (Picha zote na Kibada Kibada)

No comments:

Post a Comment