Pages

Saturday, January 10, 2015

MBUNGE WA MBEYA MJINI JOSEPH MBILINYI APATA AJALI KITONGA MKOANI IRINGA


unnamed1kPicha zikionyesha matukio mbalimbali ya tukio la ajali ya gari iliyohusisha gari la  Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi Mr II iliyotokea leo mchana  kwenye mlima wa Kitonga akiwa safarini kutoka Mbeya. hata hivyo katika ajali hiyo watu wote wamenusulika kama wanavyoonekana kwenye picha wa pili kutoka kulia ni Mh. Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini. unnamed2k unnamed3k unnamed4k

No comments:

Post a Comment