MSIMU WA PILI WA DARASA LA KISWAHILI WAANZA RASMI DMV
Wazazi, mwalimu na viongozi wa jumuiya
waliohudhuria siku ya kwanza ya darasa la Kiswahili DMV wakiwa kwenye
picha ya pamoja baada ya kuanza kwa Awamu ya pili ya Darasa la Kiswahili
kwa watoto waishio Washington DC Januari 24, 2015. pia Rais wa Jumuiya Bw Iddi Sandaly alipata fursa ya kuzungumza na Wazazi na watoto hao kuhusu darasa hilo.
Wanafunzi wakimsikiliza Mwalimu Asha Nyang’anyi. Kushoto kwake ni Katibu wa Jumuiya ya waTanzania DMV
Baadhi ya wazazi wakiwa kwenye picha ya pamoja
Baadhi ya wazazi wakiwa ndani ya darasa wakati watoto wakiendelea na mafunzo
No comments:
Post a Comment