Pages

Thursday, February 19, 2015

SERIKALI YASISITIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI.

 Kaimu Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Ofisi Bw. Michael Madembwe akizungumza na wazalishaji na watumiaji wa takwimu leo jijini Dar es salaam. Warsha hiyo imewakutanisha wadau hao  kutoka maeneo mbalimbali nchini, kubadilishana uzoefu na kuangalia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika usambazaji na ukusanyaji wa takwimu nchini.
 Kamishna wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012,  Hajjat Amina Mrisho Said  akifungua warsha ya siku mbili ya wazalishaji na watumiaji wa takwimu kutoka  Wizara, Idara za Serikali, Wakala, Taasisi za Elimu na Utafiti, Vyuo Vikuu  pamoja na Wadau wa mbalimbali wa maendeleo leo jijini Dar es salaam..





No comments:

Post a Comment