Pages

Wednesday, February 25, 2015

SHIRIKA LA SPECSAVER LA NORWAY Linatarajia kutoa HUDUMA YA UPIMAJI WA MACHO NA KUTOA DAWA KWA WANANCHI WA ZANZIBAR BILA MALIPO

 1
Naibu Waziri wa Afya  Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na wandishi wa habari kuhusu  ujio wa madaktari wa Shirika la Specsaver la Norway ambao watatoa huduma ya macho bila malipo kwa kushirikiana na wataalamu wazalendo wa Zanzibar katika skuli ya Kiembesamaki.
2
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo (hayupo pichani)  katika mkutano huo uliofanyika Wizara ya Afya Mnazi mmoja Zanzibar.
(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

No comments:

Post a Comment