MPALULEBLOG:

Pages

▼

Monday, February 16, 2015

TAMASHA LA PASAKA MWAKA HUU LITAHUSISHA MICHEZO PIA, LINATIMIZA MIAKA 15

34Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi zake zilizopo kinondoni Moroco wakati akielezea maadalizi ya tamasha hilo kwa mwaka huu, ambapo amesema tamasha hilo mwaka huu pamoja na kuwepo waimbajiwa muziki wa injili mbalimbali kutoka hapa nchini na nje ya nchi pia itakuwepo michezo mbalimbali ikiwa pia ni maadhimisho ya miaka 15 toka kuanzishwa kwa tamasha hilo. 35Alex Msama akisisitiza jambo katika mkutano huo 
36Alex Msama akiwafafanulia zaidi  waandishi wa habari katika mkutano huo  37Baadhi ya waandishi wa habari wakichukua taarifa ya Bw. Alex Msama.
Unknown at 5:18 AM
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

Unknown
View my complete profile
Powered by Blogger.